KIBAKA ATEMBEZEWA KICHAPO BAADA YA KUKWAPUA NGUO DUKANI
Wananchi wenye hasira kali wakimtembezea kichapo kijana mmoja aliyejaribu kukwapua nguo ndani ya duka moja maeneo ya Soko kuu na kukimbia kabla ya kuangukia mikoni mwa wananchi.
Kibaka akiwa mikoni mwa wananchi wenye hasira zao huku akipata kibano cha hatari.
Sura ya kibaka mwenyewe ambaye jina lake hatukuweza kulipata
Tukiwa bado eneo la tukio , Kibaka akiendelea kupewa featuring ya kichapo.
Mdau picha akifuatilia namna kibaka anavyopigwa
Mtiti wa kichapo ukaanza upya pale tu, Kibaka alipojaribu kukimbia!!
Muonekano wa mtaa wa tukio hili
Mwisho wa yote akajitokeza mdau anaye mfahamu akatoa ushauri wa kumpeleka kwa Baba yake mzazi anayejishughulisha maeneo haya jirani na kwa Kibengwe.
Kibaka akiwa mikoni mwa wananchi wenye hasira zao huku akipata kibano cha hatari.
Sura ya kibaka mwenyewe ambaye jina lake hatukuweza kulipata
Tukiwa bado eneo la tukio , Kibaka akiendelea kupewa featuring ya kichapo.
Mdau picha akifuatilia namna kibaka anavyopigwa
Mtiti wa kichapo ukaanza upya pale tu, Kibaka alipojaribu kukimbia!!
Muonekano wa mtaa wa tukio hili
Mwisho wa yote akajitokeza mdau anaye mfahamu akatoa ushauri wa kumpeleka kwa Baba yake mzazi anayejishughulisha maeneo haya jirani na kwa Kibengwe.