Bukobawadau

WAZEE WA KIZIBO EXTRA BONGO WAFUNIKA MBAYA MJINI GEITA USIKU WA JANA SASA NI ZAMU YA BUKOBA HII LEO 7/11/2012 KATIKA UKUMBI WA BUKOBA CLUB CHINI YA UDHAMINI MKUBWA WA WINDHOEK BIA


 Kiongozi wa Extra Bongo  Ally Choki aka Mzee wa Farasi akizikonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya ukumbi wa Desire Mjini Geita Usiku wa kuamkia leo katika show ya Uzinduzi wa Bia ya Windhoek chini ya Udhamini mkubwa wa Kampuni ya Mabibo Bia.
 MWANAMUZIKI wa Bendi ya Extra Bongo 'Wazee wa Kizigo', Ramadhan Masanja 'Banza Stone atahusika na nyimbo zake hii leo ndani ya Bukoba Club.
Ndg Mdau kama kuna muimbaji katika safu ya Extra Bongo mwenye uwezo wa kipekee, basi msanii Rama aka Pentagon pichani ni miongoni wa kali, jamaa anauwezo mkubwa  usipime!
 Rapper mahili wa Extra Bongo, hapa BK anajulikana kama 'katanyama' kitambo alianzia Kakau Band ya Mjini Bukoba kwa nyuma anaonekana namba # 1 Tanzanian danncer  'Super nyamwela'
 Mkali katika tasnia hii ya muziki wa band anajulikana kama  Khadja KIMOBITEL.
 Robart Katapila.
 Safu ya wanenguaji wa kike yupo Happy, Kissa Whate, Janeth, Vello  na Laity.
 Wanaume wa Extra Bongo jukwaani.
 Burudani hii imeletwa  kwako na Kampuni ya Mabibo Beer, Wines& spirits Ltd wasambazaji wa Windhoek na Climax
 Anaitwa Rama Pentagon
 Chezea Mgodi wewe!!!!
 Unaweza kuplay video hapo juu ili kuona na kusikia kinacho endelea.
 Kama umeweza kushuhudia show yoyote ya Wazee wa Kizibo, basi utakubaliana nami kua jamaa wanatisha si kawaida kuanzia safu ya uimbaji hadi uchezaji
 Mzee James Lugemalira kushoto ambaye ni Mkurugenzi wa Mabibo Bia , Ally Choki kiongozi wa Extra Bongo, Ndg Kamalamshauri wa kampuni na  wa mwisho ni Mdau Daudi.
Criss kushoto, Mdau Kamala mshauri wa kampuni  na Mdau Jerome yeye ni mtu wa mipango na mikakati endelevu.
Wadau mbalimbali wakiendeleza maisha na Windhoek

Bukobawadau
Mambo yakizidi kupamba moto, Uzinduzi wa Windhoek kandaya ziwa, na mzuka huu utaendelea tena kwa wakazi wa Bukoba na vitongojivyake, alhamisi ijayo wapo Geita tena na Ijumaa timu nzima ya Mabibo Bia na Extra Bongo watauvamia mji wa Kahama.
 Wadada wa Kampuni ya Mabibo Bia wakienda sambamba na kuakikisha huduma inamfikia mteja .

Mashabiki wa Extra Bongo ndani ya Geita
 Mashabiki wakizidi kupagawa na sebene la Extra Bongo.
Kila mjanja anatumia Windhoek.
 Wadau wa Windhoek pichani kama anavyo onekana Dj Pembe.
 Ally Choki akifurahi na Climax kinyaji kinacho sambazwa na  Kampuni ya Mabibo Bia
 Wadau na mashabiki Mjini Geita wakifurahia show
 Mdau Ahsani
 Mkurugenzi wa Desire Ndg Simon akicheck na camera yetu
 Wanenguaji wa Extra Bongo wakizidi kuwajibika
 Sebene la Extra likiendelea kunoga.
 Furaha inapokolea.
.Mashabiki Mjini Geita.
Next Post Previous Post