Bukobawadau

NENO LA MADAM LITA

Inalipa sana kuwa mnyenyekevu na mkweli. Kila upatapo nafasi jaribu kuweka tabasamu kwenye uso wa mtu kwa kumfanyia kitu kidogo tu kama kumsifia au kumpa salamu. Penda kuwekeza kwa binadamu wenzako kwa kuonyesha wema kwani huwezi kufahamu atakaye kukusaidia ni nani...

Nawapenda na nawashukuru sana kwa pole zenu. Zinanipa faraja.
Next Post Previous Post
Bukobawadau