Bukobawadau

Ajali yaua watu kadhaa na kujeruhi baada ya Basi la Minziro kwetu (Bukoba-Mwanza) Kupinduka

Watu 4 wamepoteza maisha papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia ajali ya Basi la Minziro Kwetu lililokuwa linatoka Bukoba kwenda Geita kupata ajali eneo la kona ya Kalongo,kijiji cha Kiziramuyaga Wilayani Muleba.
Credit ; Matias Byabato
Next Post Previous Post
Bukobawadau