Bukobawadau

MAPATO MECHI YA STARS NA IVORY COAST

Mchezo wa Taifa Stars dhidi ya Ivory Coast uliingiza sh. 502,131,000 kutokana na watazamaji 57,203 walioshuhudia mpambano huo. Kwa mujibu wa taarifa ya TFF mgawanyo wa mapato hayo ulikuwa: 
18% ya VAT ni sh. 76,596,254.24 , 
Gharama za uchapaji tiketi ni sh. 7,809,104,
15% ya uwanja sh. 62,658,846.26,
20% ya gharama za mechi sh. 83,545,128.35 na asilimia
5% ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) sh. 20,886,282.09.
60% ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) sh. 250,635,385.06 na
5% Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) sh. 12,531,769.25
Next Post Previous Post
Bukobawadau