Bukobawadau

PUBLIC NOTICE

Wapendwa wote.
Tunapenda kuwatangazia tibalishe murua kabisa kutoka Nativa South Africa ambazo zimeshawasili na kuthibitishwa na mamlaka zote husika kama TFDA, NHIF na wengineo kuwa zinatibu kwa uhakika maradhi yote na kukarabati miili kwa namna ya ajabu kabisa.
1. Wewe ni mwenye umri wa miaka 45 au zaidi. Je nguvu na akili zako za ujana bado zipo? Je unajua kuwa zinaweza zikarudi na ukajiona mpya tena? Click hapa uone.
http://www.nativa.co.za/products/category/go/
2. Wewe una wazazi na pengine babu na bibi au hata wajomba na shangazi wamezeeka na wanalalamika sana maumivu ya viungo. Hebu wasaidie. Click hapa uone bidhaa nilizokuletea.
http://www.nativa.co.za/products/osteoeze-gold-90
3. Inawezekana kabisa kukawa na mgonjwa mzee au hata mahututi wa maradhi kama vile HIV, TB, Ajali, kisukari na uzee pia. Hapa nimekuletea dawa kiboko yenye uwezo wa kumpa afueni mgonjwa kwa siku kumi tu! Kama unauguza click hapa na ukielewa unipigie tumsaidie mgonjwa wako
http://www.nativa.co.za/products/category/lifegain/
4. Wengine tuna wake zetu wajawazito. Ujauzito ni kuwa na maradhi yatokanayo na ongezeko la umbo la binadamu ambalo vitu kama moyo hushituka kwa kazi ya kupeleka damu mbali ambako haikuzoea kutumwa! Matatizo sio hayo tu. Soma hapo. Ukiona kuna umuhimu wa kumsaidia mgonjwa wako unitafute tumsaidie.
http://www.nativa.co.za/products/category/mom2b/
5. Hata watoto wetu nao si kweli kuwa ni haki yao kuzubaa bila sababu. Mtoto anatakiwa achangamke! Alete matokeo mazuri darasani pia. Kama unampenda mwanao awe katika hali ya afya njema na uchangamfu basi fungua hapa usome.
http://www.nativa.co.za/products/category/turbokidz/
6. Wengi wetu tuna "V" shape ambayo ni mzigo wa mifupa, mgongo, na kiuno kwa kubeba mipango ya binadamu mwenyewe Tumeleta dawa za kupunguza uzito ili matatizo ya maumivu kama haya yaishe. Angalia hapa
http://www.nativa.co.za/products/category/new-you/
Ukihitaji dawa hizi popote mikoani na hapa Dar Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo:
John Haule Meneja mauzo 0768 215 956
Mikidadi Bakari Meneja Usambazaji 0767 557 764
Tunahitaji mawakala wachache sana mikoani hasa wenye maduka ya madawa na zahanati mikoani. Tafadhali wasiliana na John Haule 0768 215 956.
Asanteni kwa kunisoma.
Next Post Previous Post
Bukobawadau