Bukobawadau

TIMU YA KASHAI YAFUDHU HATUA YA NUSU FAINALI KWA KUIFUNGA KAGONDO 3-1

Shangwe za Wanyaluganda wa timu ya Kashai baada ya kufudhu hatua ya nusu fainali kwa kuifunga Kagondo 3-1
‪#‎Michuano‬ ya Kagasheki CUP 2013
Wachezaji wa Kashai wakipasha uwanjani
 Mashabiki wakifurahia soka

 Mchezaji Yusuph Kikoti


Kwa matokeo hayo timu ya kashai itakutana na timu ya Rwamishenye katika hatua inayofuata.
Ni full vibweke uwanjani Kaitaba.
Mdau Moa Nyundo # team Kashai akicheck na Camera yetu uwanjani Kaitaba.

Next Post Previous Post
Bukobawadau