#TETEMEKOBUKOBA :WATU 10 WAPOTEZA MAISHA NA WENGINE KADHAA KUJERUHIWA







Muendelezo wa matukio kutoka hospital ya Mkoa Kagera







Jengo la Mukhpar wauzaji wa pembe jeo za Kilimo mjini Bukoba likiwa katika hali hii...






Nyumba mbalimbali za makazi zikiwa zimekumbwa na tetemeko,hapa ni maeneo ya Kashura.

Maeneo ya Kilimahewa-Kashai Bukoba


Binti Ziadi Pichani akipata huduma katika hospital ya Mkoa, kwa ufupi ni kwamba hali ni mbali kuliko unavyo weza kuchukulia kwa haraka...











Picha zote na Bukobawadau Blog
Earthquake measuring 5.7 hits northwest Tanzania - USGS
An earthquake measuring 5.7 hit northwest Tanzania on Saturday, 44 km from Bukoba, close to the western shore of Lake Victoria, the U.S. Geological Survey reported.
The quake, recorded at a depth of 10 km, struck at 12.27 p.m. GMT (5.57 p.m. IST), the report added.

Widespread damage was reported following the quake, which also rocked the neighbouring regions of Mwanza, Mara and Simiyu.
The quake had its epicentre in Tanzania, according to sources at a volcanic observatory in the Congolese city of Goma, where the quake was also felt.