Bukobawadau

”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”


Soko Kuu la Manispaa Bukoba  limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.

Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafanyabiashara eneo la SOKO KUU  Mjini Bukoba Wakibomoa Mabanda yao ya biashara kupisha Ujenzi wa Soko jipya leo April 12,2025.

Soko kuu Manispaa Bukoba lilikuwa na Jumla ya Wafanyabiashara  1,400 huku wananchi wapatao 10,000 wakifaya manunuzi  ya bidhaa mbalimbali kwa siku katika soko hilo.


Bukobawadau


 

Previous Post